Kikosi cha uokoaji katika kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Sibanye kimesema zaidi ya wachimba migodi 950 wamekwama chini ya mgodi wa dhahabu wa Beatrix ulioko mkoa wa Free State kilomita 300 Kusini Magharibi mwa Johannesburg .
Afrika Kusini: Watu 17 washukiwa kufariki kutokana na gesi inayoshukiwa kuvuja
Usa River Media
0
Post a Comment