Kuna wakati na kwama kwenye mihangaiko ya maisha napoteza kabisa muelekeao wa dira ya maisha, Nijabu sana moyo unaangaika kutafuta majibu ambayo wewe unayo ila mimi kama mwanadamu mara nyingi nasahu mengi uliyonitendea hata hili ninalopitia kwa sasa litapita na nitalisahau
Nikumbushe wema wako wakati wa magumu niimbe sifa zako nikusifu

Post a Comment