#-----------Start surfernetwork.com--------------- # Ads.txt last updated on:  2026/06/10 13:26:00.23423 by surfernetwork.com MANAGERDOMAIN=surfernetwork.com CONTACT=support@surfernetwork.com # SurferNETWORK surfernetwork.com, 204, DIRECT # Adswizz adswizz.com, 724, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 #Azerion targetspot.com, 455, RESELLER, feb28ed826dcf532 improvedigital.com, 2734, RESELLER adswizz.com, 172, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 appnexus.com, 7265, RESELLER, f5ab79cb980f11d1 tritondigital.com, 44733, RESELLER, 19b4454d0b87b58b rubiconproject.com, 9753, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #US rubiconproject.com, 16418, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #EMEA # DAX thisisdax.com, 5460, RESELLER thisisdax.com, 5461, RESELLER # katz Katzdigital.com, 318, RESELLER Katzdigital.com, 80, RESELLER # Magnite rubiconproject.com, 8441, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #-----------End surfernetwork.com-----------------

Ushahidi 'wa kuhuzunisha' dhidi ya wanajeshi wa Uingereza nchini Kenya

Jopo la uchunguzi wa kihistoria kuhusu madai ya ukiukaji wa haki za binadamu uliyofanywa na wanajeshi wa Uingereza nchini Kenya limekuwa likipokea ushahidi "wa kuhuzunisha" kutoka kwa wale wanaosema walidhulumiwa.

Makumi ya watu wiki hii wametoa ushahidi mbele ya kamati ya bunge kuhusu madai ya utovu wa nidhamu wa wanajeshi kutoka Kitengo cha Mafunzo ya Jeshi la Uingereza Kenya (Batuk).

Miongoni mwao ni familia ya msichana anayedaiwa kulemaa baada ya kugongwa na na lori la Jeshi la Uingereza, mama ambaye anasema alitelekezwa akiwa mjamzito na mwanamume aliyevamiwa na simba kufuatia moto unaodaiwa kuwashwa wakati wa zoezi la mafunzo ya kijeshi.

Kituo cha Batuk kilichopo Nanyuki, takriban kilomita 200 kaskazini mwa mji mkuu, Nairobi, na kilianzishwa mwaka wa 1964 muda mfupi baada ya taifa hilo la Afrika Mashariki kupata uhuru kutoka kwa Uingereza.


Post a Comment

Previous Post Next Post

Mobile Logo Settings

Usa River Tv