Saar ametoa kauli hiyo mjini Jerusalem wakati alipoulizwa swali na waandishi wa habari, kuhusu uwezekano wa kusitishwa vita. Mwanadiplomasia huyo amejibu ya kwamba kuna hatua kadha zimepigwa na wanashirikiana na Marekani katika suala hilo.
Israel yasema 'hatua zimepigwa' kusitisha mapigano Lebanon
Usa River Media
0
Post a Comment