#-----------Start surfernetwork.com--------------- # Ads.txt last updated on:  2026/06/10 13:26:00.23423 by surfernetwork.com MANAGERDOMAIN=surfernetwork.com CONTACT=support@surfernetwork.com # SurferNETWORK surfernetwork.com, 204, DIRECT # Adswizz adswizz.com, 724, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 #Azerion targetspot.com, 455, RESELLER, feb28ed826dcf532 improvedigital.com, 2734, RESELLER adswizz.com, 172, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 appnexus.com, 7265, RESELLER, f5ab79cb980f11d1 tritondigital.com, 44733, RESELLER, 19b4454d0b87b58b rubiconproject.com, 9753, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #US rubiconproject.com, 16418, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #EMEA # DAX thisisdax.com, 5460, RESELLER thisisdax.com, 5461, RESELLER # katz Katzdigital.com, 318, RESELLER Katzdigital.com, 80, RESELLER # Magnite rubiconproject.com, 8441, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #-----------End surfernetwork.com-----------------

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi na Rais wa China Xi Jinping wakutana kandokando ya Mkutano wa SCO

 Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, na Rais wa China, Xi Jinping, wanatarajiwa kukutana kandokando ya Mkutano wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Shanghai (SCO) utakaofanyika Tianjin, China, tarehe 31 Agosti. Taarifa hiyo imethibitishwa mapema leo na Katibu wa Masuala ya Nje wa India, Vikram Misri.



Hatua hii inajiri wakati India na China zikijitahidi kurekebisha uhusiano wao wa pande mbili huku Rais wa Marekani, Donald Trump, akiendeleza vita vya ushuru ambavyo vimezua mvutano wa kijiografia duniani.

Waziri Mkuu Modi atakuwa nchini China kuanzia Agosti 31 hadi Septemba 1 kwa ajili ya Mkutano wa SCO, ambao utawahusisha viongozi takribani 20 wa dunia, wakiwemo Rais wa Urusi, Vladimir Putin.

Ni jambo la muhimu kutambua kuwa, Waziri Mkuu Modi na Rais Xi watakutana kwa mara ya kwanza baada ya mwaka mmoja, katika ziara ambayo pia itakuwa ya kwanza kwa Modi kutembelea China baada ya kipindi cha miaka saba.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Mobile Logo Settings

Usa River Tv