Inawezekana umewahi kupitia magumu au unapitia changamoto za maisha lakini kuna kitu nataka nikwambie, Kuna baraka na mafanikio yaliyoko mbele yako lakini kuna watu waliokuzunguka ambao hawatakiwi kunufaika na baraka hizo na kwakuwa Mungu ameona wema wako na moyo wako wa huruma na kusamehe kila muda unapokutana na makwazo basi ameamua kuwaondoa watu hao katika maisha yako kwa njia walioifata wao kwa kukusaliti kwa kuzarau kwa kuzalilisha wakijua kuwa wanakukomo lakini kumbe ni mipango ya Mungu.
Ni wakati sasa wa wewe kuona ukuu wa Mungu katika Maisha yako japo utaumia kwakuwa hawatashiriki katika Mema Hayo. Like yakoo tu inatosha kushukuru na Mungu afanye hivyo katika Ukamilifu wake.

Post a Comment