Waziri wa Afya, Mheshimiwa Dk. Mohamed Changwerwa, amesema serekali ndiyo mshirika mkuu na mwenye kiasi kikubwa cha hisa katika kiwanda kipya cha kisasa cha uzalishaji wa dawa nchini Tanzania.
Kauli hiyo alitoa waziri huyo leo wakati wa mkutano na waandishi wa habari, akibainisha kuwa asilimia 70 ya hisa za kiwanda hicho kilichojengwa hivi karibuni, huku serikali ikiwa ndio mwekezaji mkubwa.
Post a Comment