#-----------Start surfernetwork.com--------------- # Ads.txt last updated on:  2026/06/10 13:26:00.23423 by surfernetwork.com MANAGERDOMAIN=surfernetwork.com CONTACT=support@surfernetwork.com # SurferNETWORK surfernetwork.com, 204, DIRECT # Adswizz adswizz.com, 724, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 #Azerion targetspot.com, 455, RESELLER, feb28ed826dcf532 improvedigital.com, 2734, RESELLER adswizz.com, 172, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 appnexus.com, 7265, RESELLER, f5ab79cb980f11d1 tritondigital.com, 44733, RESELLER, 19b4454d0b87b58b rubiconproject.com, 9753, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #US rubiconproject.com, 16418, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #EMEA # DAX thisisdax.com, 5460, RESELLER thisisdax.com, 5461, RESELLER # katz Katzdigital.com, 318, RESELLER Katzdigital.com, 80, RESELLER # Magnite rubiconproject.com, 8441, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #-----------End surfernetwork.com-----------------

SOKO JIPYA LA KARIAKOO LAZINDULIWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Februari 08, 2026 amezindua soko jipya la Kariakoo lililopo Ilala jijini Dar es Salaam.





Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba ameshiriki katika uzinduzi huo ambapo amesema kuwa uamuzi wa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia wa ujenzi wa soko hilo, ni ishara ya dhati ya kujitoa kwake kwa Watanzania, hususan wafanyabiashara wa Kariakoo na watumiaji wa soko hilo.
Amesema Rais Dkt. Samia ameendelea kurejesha tabasamu kwa wananchi kwa kutekeleza kwa vitendo ahadi anazozitoa, jambo linalodhihirisha uongozi wake wa vitendo na unaojali maslahi ya watu.
Ameeleza kuwa soko hilo limejengwa kwa misingi ya kisasa, kwa kuzingatia maono ya Rais Samia, ili kuhakikisha mazingira salama na rafiki kwa wafanyabiashara.
Amesema kuwa soko hilo limewekewa mifumo imara ya umeme, kamera za ulinzi pamoja na jenereta za dharura, hatua zinazolenga kuongeza usalama na ufanisi wa shughuli za biashara.
Amesisitiza kuwa hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za Serikali katika kuboresha mazingira ya biashara na kukuza uchumi wa wananchi kupitia miundombinu ya kisasa na endelevu.






Post a Comment

Previous Post Next Post

Mobile Logo Settings

Usa River Tv