Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mhandisi Peter Phillip Mwasalyanda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA).
Kabla ya uteuzi huu, Mhandisi Mwasalyanda alikuwa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) na anachukua nafasi ya Dkt. Jabiri Kuwe Bakari ambaye amemaliza muda wake.
#DarEsSalaam #Usarivertv
Post a Comment