Waziri wa Maji, Jumaa Aweso amepokelewa kwa kishindo na wananchi wa Migongo wilayani Buhigwe ikiwa eneo hilo halikua na huduma ya maji na wananchi kuteseka umbali mrefu kupata huduma hiyo kwa muda mrefu.
Waziri Aweso baada ya ukaguzi wa mradi huo ameridhishwa na utekelezaji wake na kuwapongeza wahandisi wa maji RUWASA.
Mradi huo unagharimu Sh1.1 bilioni na sasa umekamilika kwa asilimia 94 na tayari unatoa huduma ya maji Kwa wananchi wa Kijiji cha Migongo.
Kukamilika kwake kutahudumia wananchi wapatao 14,242 wa Kijiji Cha Migongo.
Waziri Aweso baada ya ukaguzi wa mradi huo ameridhishwa na utekelezaji wake na kuwapongeza wahandisi wa maji RUWASA.
Mradi huo unagharimu Sh1.1 bilioni na sasa umekamilika kwa asilimia 94 na tayari unatoa huduma ya maji Kwa wananchi wa Kijiji cha Migongo.
Kukamilika kwake kutahudumia wananchi wapatao 14,242 wa Kijiji Cha Migongo.
Post a Comment