Mwanamziki kutoka nchini Kenya Will Paul amevilaumu vyombo vya habari nchini hu7ko kwa kushindwa kuonyesha na kuwashika mkono wasanii na wanamusiki wa nchi hiyo huku akidai kuwa muda wingi wamekuwa wakitangaza zaidi mziki wa nje ya nchi yao.
Kupitia post yake kwenye mitandao wa kijamii Paul ameandika kuwa kuekuwa na ukakasi katika vyombo hivyo kuwasaidia wasanii wa ndani huku akiongelea mafanikio yake aliyoyapata na mchango wake katika mziki wa Kenya ndani na nje ya nchi hiyo kuwa amekuwa wakwanza kushiriki katika ''The Shade Room pamoja na kutajwa kuwa ni nmsanii wa kwanza Africa Mashariki nkushiriki katika The Shade Room Msanii wa pili Africa Mashariki kutrend Apple Tv America

Post a Comment