#-----------Start surfernetwork.com--------------- # Ads.txt last updated on:  2026/06/10 13:26:00.23423 by surfernetwork.com MANAGERDOMAIN=surfernetwork.com CONTACT=support@surfernetwork.com # SurferNETWORK surfernetwork.com, 204, DIRECT # Adswizz adswizz.com, 724, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 #Azerion targetspot.com, 455, RESELLER, feb28ed826dcf532 improvedigital.com, 2734, RESELLER adswizz.com, 172, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 appnexus.com, 7265, RESELLER, f5ab79cb980f11d1 tritondigital.com, 44733, RESELLER, 19b4454d0b87b58b rubiconproject.com, 9753, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #US rubiconproject.com, 16418, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #EMEA # DAX thisisdax.com, 5460, RESELLER thisisdax.com, 5461, RESELLER # katz Katzdigital.com, 318, RESELLER Katzdigital.com, 80, RESELLER # Magnite rubiconproject.com, 8441, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #-----------End surfernetwork.com-----------------

Ligi ya mabingwa yarejea – Habari zote unazopaswa kujua, nani yuko katika kundi gumu na nani ataibuka mshindi

Manchester City wanaanza kutetea taji lao la Ligi ya Mabingwa wiki hii wakati mechi za makundi zikianza. Kikosi cha Pep Guardiola kimeungana na Arsenal, Manchester United na Newcastle kutoka Ligi Kuu ya Uingereza, huku Newcastle wakirejea katika ligi hiyo baada ya kukosekana kwa miaka 20.


Hizi hapa ni taarifa zote muhimu kuhusu Ligi ya Mabingwa 2023-24. Timu gani ipo katika kundi lipi?

Newcastle wamepangwa Kundi F pamoja na mabingwa wa Ufaransa Paris St-Germain, miamba wa Italia AC Milan na washindi wa zamani wa Ligi ya Mabingwa, Borussia Dortmund.

City watakuwa Kundi G, likionekana kuwa sio kundi gumu - watakapomenyana na RB Leipzig, Red Star Belgrade na Young Boys.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Mobile Logo Settings

Usa River Tv