#-----------Start surfernetwork.com--------------- # Ads.txt last updated on:  2026/06/10 13:26:00.23423 by surfernetwork.com MANAGERDOMAIN=surfernetwork.com CONTACT=support@surfernetwork.com # SurferNETWORK surfernetwork.com, 204, DIRECT # Adswizz adswizz.com, 724, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 #Azerion targetspot.com, 455, RESELLER, feb28ed826dcf532 improvedigital.com, 2734, RESELLER adswizz.com, 172, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 appnexus.com, 7265, RESELLER, f5ab79cb980f11d1 tritondigital.com, 44733, RESELLER, 19b4454d0b87b58b rubiconproject.com, 9753, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #US rubiconproject.com, 16418, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #EMEA # DAX thisisdax.com, 5460, RESELLER thisisdax.com, 5461, RESELLER # katz Katzdigital.com, 318, RESELLER Katzdigital.com, 80, RESELLER # Magnite rubiconproject.com, 8441, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #-----------End surfernetwork.com-----------------

Majina makubwa yamekosekana

Katika ligi hii hakuna matarajio ya kumwona Cristiano Ronaldo wala Lionel Messi, hakuna hata mmoja atakayeshiriki Ligi ya Mabingwa msimu huu.


Ronaldo alikuwa mmoja wa watu wa kwanza wenye majina makubwa kuhamia Saudi Arabia – anachezea Al Nassr – wakati Messi yuko Marekani na Inter Miami.

Wengine watakao kosekana ni mchezaji wa Brazil, Neymar na mshambuliaji wa Ufaransa, Karim Benzema wamejiunga na Ronaldo kwenye Ligi ya Saudia. Wako pamoja na Al Hilal na Al-Ittihad.

Lakini bado tutaona baadhi ya majina makubwa ya wakati huu, mshambuliaji wa Ufaransa, Kylian Mbappe akiwa PSG na mpachika mabao wa Man City, Erling Haaland akitafuta kuvunja rekodi zaidi.

Lamine Yamal mchezaji mwenye umri wa miaka 16 mwaka huu alikua mchezaji mdogo zaidi wa Barcelona kwa wakati wote na pia ni mchezaji mdogo zaidi na mfungaji mdogo zaidi wa Uhispania.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Mobile Logo Settings

Usa River Tv