Pasto Samo, meleta taharuki mkubwa mtandaoni baada ya kutoa madai ya kusisimua kuhusu Raila Odinga, kiongozi wa upinzani aliyeaga dunia hivi karibuni.
Katika video iliyovuma, Samo anadai kuwa Raila "alipelekwa moja kwa moja kuzimu" baada ya kifo chake, akidai kwamba mwanasiasa huyo aliingia katika chama ya Freemasons mwaka wa 1996.
"Raila alipokufa, alichukuliwa moja kwa moja kuzimu. Sababu ni kwamba mwaka wa 1996 aliingizwa katika Freemasons. Kwa hivyo alienda moja kwa moja," Pasto Samo amesema.

Post a Comment