#-----------Start surfernetwork.com--------------- # Ads.txt last updated on:  2026/06/10 13:26:00.23423 by surfernetwork.com MANAGERDOMAIN=surfernetwork.com CONTACT=support@surfernetwork.com # SurferNETWORK surfernetwork.com, 204, DIRECT # Adswizz adswizz.com, 724, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 #Azerion targetspot.com, 455, RESELLER, feb28ed826dcf532 improvedigital.com, 2734, RESELLER adswizz.com, 172, RESELLER, 52ded3ee71b94c84 appnexus.com, 7265, RESELLER, f5ab79cb980f11d1 tritondigital.com, 44733, RESELLER, 19b4454d0b87b58b rubiconproject.com, 9753, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #US rubiconproject.com, 16418, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #EMEA # DAX thisisdax.com, 5460, RESELLER thisisdax.com, 5461, RESELLER # katz Katzdigital.com, 318, RESELLER Katzdigital.com, 80, RESELLER # Magnite rubiconproject.com, 8441, RESELLER, 0bfd66d529a55807 #-----------End surfernetwork.com-----------------

Ifikie mahali kanisa katoliki liachwe na lisilazimishe kuhusu ushoga

Na Paul Joseph Alagwa 
Kila mtu anamaoni yake kuhusu mambo ya ushoga lakini hii sasa inapitiliza kwa upande wa kanisa katoliki, Watu wanatoa maoni yao ila ukiyaangalia kiundani ni kama yanalazimisha kitu ambacho hakipo katika kile alichokisema Papa kuhusu mambo ya baraka kwa wanaoitaji baraka husika.

Wakosoaji wengi kwanza wanaonekana hawajaelewa kilicho semwa na Papa. Unapaswa uelewe kuwa kila binadamu anahitaji baraka kama alivyo sema papa lakini hakuna mtu atakataliwa baraka au kubarikiwa kwenye maisha yake eti kwasababu ya jinsia yake hivyo inamaanisha kila mtu atabarikiwa haijalishi msimamo wake katika mambo ya jinsia kama ni shoga hilo ni juu yake lakini pale atakapo hitaji baraka hawezi kunyimwa kisha ushoga ila imewekwa wazi kuwa sio kuwa kanisa katoliki lina bariki vitendo vya kishoga bali mhusika kama anajihusisha na vitendo hivyo anaweza kupata baraka kwenye mambo yake yote ila sio kuhalalisha au kubariki vitendo hivyo lakini wakosoaji wengi wanaonekana kutokuelewa hili.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Mobile Logo Settings

Usa River Tv