Katika taarifa mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Volker Türk amewataka waasi hao aliowataja kwa jina lao rasmi la Ansar Allah, ambao waliziteka ofisi hizo tangu Agosti 3, waondoke na kurejesha kila walichokichukua mara moja. Hii ni hatua ya hivi karibuni ya waasi hao katika harakati zao za kuwahangaisha watu wanaofanya kazi na mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa nchini humo pamoja na balozi za kigeni.
Waasi wa Kihouthi nchini Yemen wameyavamia makao makuu ya Umoja wa Matai...
Usa River Media
0

Post a Comment